AINA ZA MANENO

Aina Kuu za Maneno katika Kiswahili

Aina ya NenoMaelezoMfano
NominoNi maneno yanayotaja majina ya watu, vitu, wanyama, mahalimtoto, nyumba, simba
KitenziNeno linaloonyesha kitendo au halikula, imba, pumzika,
VivumishiNeno linaloeleza kuhusu nomino au kiwakiishi chake zaidimzuri, mrefu, mweupe
ViunganishiNi maneno ambayo uunganisha neno na neno lingine au sentensi na sentensi nyingine pamojana, lakini, au, wala
ViwakilishiNi maneno ambayo huchukua nafasi ya nomino katika sentensiyeye, wao, sisi
wao, yule
VieleziHueleza kitenzi zaidi (namna, wakati, mahali)haraka, jana, hapa
VihusishiHuonyesha uhusiano kati ya manenojuu ya, kati ya, kwa
VitamkwaHutoa hisia au sauti ya mshangaojamani!, lo!, aah!
KivumiliaHueleza nomino kwa idadi au kiasiwote, baadhi, wengi

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Scroll to Top